Kwa miaka ya nyuma haikuwa rahisi kwa msanii kuanza kuingiza pesa kabla ya umaarufu. Lakini kwa msaada wa DSP's sasa mtu yeyote mwenye kipaji ana nafasi ya kuingiza pesa regardless una umaarufu au hauna.
Naamini kabisa kuwa unazifahamu Streaming platforms kwa mfano Spotify, Apple Music, Audiomack, BoomPlay n.k. Hizi streaming platform zote huwa wanawalipa watengeneza maudhui ambao wanaweka kazi zao kwenye hizo platforms. Lakini ili uweze kulipwa ni lazima utumie Digital Service Providers(DSP's
Hakikisha wimbo wako ni original yaani isiwe copy ya wimbo mwingine
--------------------------
Hakikisha wimbo hauna samples zenye nature sound au usitumie samples ambazo zimeshatumika na watu wengi
--------------------------
Hakikisha wimbo haujawahi kuwa distributed before
--------------------------
Vitu vingine nitakuelekeza location
Ndani ya hatua 3 tu ngoma inakuwa hewani Dunia nzima