PATA VIFAA VYOTE VYA NYUMBANI
Tunauza vifaa vya majumbani na maofisini vyenye ubora wa kimataifa. Karibu dukani kwetu ujipatie vifaa orijino kwa punguzo kubwa la bei.
PATA HABARI MUHIMU KUHUSU AFYA YAKO
Kuwa wa kwanza kupata habari muhimu kuhusu milipuko ya magonjwa na tiba za haraka. Subsribe kwenye ukurasa wetu ili usipitwe na nyundo hizi
PATA GADGETS NA ACCESSORIES MBALI MBALI.
Kwa wapenzi wa gadgets zinazokwenda na wakati usiache kubonyeza link hapa chini,kuna mambo mazuri kwa ajili yenu.
Bidhaa zetu zote ni original na zina ubora unaokidhi viwango vya kimataifa. Tunajitahidi kwa kila hali kuhakikisha tunakupatia kitu kitakachokufanya ujivunie kuwa mteja wetu. Katika ulimwengu huu wa kidigitali ni rahisi sana kununua bidhaa fake na ndio maana tunajaribu kuwalinda wateja wetu kwa kuhakikisha tunawapatia bidhaa zinazowafanya wajisikie fahari kuwa wanafamilia wa Connect Tanzania.
Bila kusahau tunatoa warranty kwa kila bidhaa utakayonunua mtandaoni kupitia connecttanzania.com
Tunasafirisha mizigo ndani na nje ya Tanzania kwa kutumia usafiri wa ndege na mabasi. Popote pale ulipo mzigo wako utakufikia bila shaka yoyote. Kama una swali lolote au kuna sehemu unahitaji ufafanuzi zaidi wasiliana nasi kupitia simu namba 0689 310 308 muda wowote wawakilishi wetu watakuhudumia.
NB: Gharama za usafiri zinalipwa na mteja /mnunuzi wa bidhaa husika. Kma mzigo utafika umeharika kwa namna yoyote wasiliana nasi mara tu utakapogungua kuwepo kwa uharibifu huo nasi tutakupa utaratibu wa namna ya kuurudisha kwetu ili utumiwe mzigo mpya.
Bidhaa zetu kwa 99% zinatoka kwenye mataifa matatu ambayo ni UK,CHINA NA DUBAI. Kama una ombi maalumu au unahitaji bidhaa kutoka Nchi tofauti na zilizotajwa hapo,basi wasiliana nasi ili tukupatie usaidizi wa namna ya kuipata. Tunaweza kukuletea bidhaa kutoka Nchi yoyote ile Dunia ila muda wa kupokea mzigo unaweza kuwa tofauti kulingana na Nchi ambayo mzigo unatoka
Tunatoa huduma ya kuagizisha mizigo kutoka CHINA-DUBAI-UK & USA. Kama unahitaji bidhaa yoyote kutoka kwenye Nchi zilizotajwa hapa basi usisite kuwasiliana. Tunaagizisha mizigo kwa bei ile ile ya nje sisi tunachaji 10% ya tu kama agency fee. Tunatoa huduma hii kwa watu binafsi na wafanyabiashara pia. Usikubali kutapeliwa kwa kupandishiwa bei za bidhaa bila wewe mwenyewe kujua
Kwa kawaida mizigo inachua siku tatu mpaka 7 kufika kwa njia ya ndege na maximum ya siku 35 kwa njia ya meli.
Pia tunatoa huduma za digital marketing kwa wafanyabiashara. Tunatoa elimu ya matumizi sahihi ya social media kwa mfanyabiashara.
Bila kusahau kwa mfanyabiashara au mtu binafsi unayehitaji website kama hii basi usisite kuwasiliana nasi ili tukutengenezee au tukufundishe utengeneze mwenyewe,yote hayo yanawezekana.
Pia kama unahitaji huduma ya matangazo ya kulipia au unataka kujifunza kufanya matangazo ya kulipia basi wasiliana nasi kupitia simu namba 0689 310 308
Bidhaa Za Afya Zinazopendwa Zaidi
Best Selling Products
Njoo ufurahie punguzo la 20%
Jipatie vacuum cleaners na bidhaa nyingine za nyumbani kwa punguzo kubwa la bei
Original bluetooth speakers
Unatafuta Original speakers zenye mziki mzuri? Basi tembelea duka letu kujionea na kufurahia bei za kizalendo
Pata Original Smart watches
Karibu ujipatie smart watch za kisasa za kiume na kike kwa punguzo kubwa la bei
Bidhaa bora kwa afya ya uzazi kwa wanaume
-
Sh 120,000Sh 115,000Our Mix collagen consists of collagen 1-2-3. It is suitable...
-
Sh 250,000Sh 245,000Katuaba Plus is a natural remedy long used in herbal...
-
Sh 30,000Sh 25,000Honeymoon Energy Drink ni kinywaji kilichotengenezwa kukupa nguvu unayohitaji kukamilisha...
-